Wednesday, June 11, 2014

Kuhusu Zitto Kabwe Kuulipia wimbo wa Linex Zaidi ya Milioni 10 na Ujumbe wa Wimbo Huo

0
Linex amepewa sapoti kubwa na mbunge wa Kigoma Kaskazini, Zitto Zuberi Kabwe ili aachie audio na video ya wimbo wake unaoitwa Wema kwa Ubaya.Linex na ZittoLinex ameeleza kuwa Zitto Kabwe alimpa idea ya kufanya wimbo ambao angeusapoti lakini Linex akagundua kuwa ana wimbo alifanya mwaka jana na una hisia na ujumbe utakaosaidia kuwapa faraja wengi wenye matatizo, alipomfikishia mheshimiwa aliukubali.
Zitto alivutiwa na ujumbe wa wimbo huo unaohusu watu kutolipiza kisasi na kuendelea kumtegemea Mungu katika kila jambo. Baada ya kuguswa alimfuata Adam Juma na kulipia video hata bila kumwambia Linex, baadae akampa taarifa ajiandae kushuti.
“Tunaanza kushuti next week kwa sababu nilikuwa bado niko busy na Kili Tour. Ni wimbo mzuri utakaoigusa sana jamii halafu baadae tukishashuti tutajua mambo mengine.”
Author Image

About tzfleva
Soratemplates is a blogger resources site is a provider of high quality blogger template with premium looking layout and robust design

No comments:

Post a Comment